Napenda nianze kwa kukupa pole wewe unae amini kuwa presha ni ugonjwa pole sana, maana kufikiria hivo tu ndio ugonjwa wenyewe. Hebu turudi nyuma kidogo, ikiwa una mgonjwa ambae haongei wala hawezi kufanya kitu chochote njia pekee...
Category - WANAWAKE
Matatizo ya moyo yamekuwa yakiongezekana sana siku hizi kutokana na matumizi mengi ya bidhaa zinazotengenezwa viwandani na matumizi ya vyakula vyenye kemikali . Njia rahisi ya kurekebisha tatizo hili ni kujitahidi kula vyakula...
Kwa kifupi naweza kusema Kifafa ni degedege kubwa. Ni ugonjwa unasababisha mtu anadondoka na kupoteza fahamu kabisa, japo hadi sasa hakuna jibu la moja kwa moja kuwa tatizo hilo husababishwa na kitu gani, kila jamii imekuwa na...
Dawa hii inaweza kumsaidia mgonjwa yeyote ambaye kinga mwili yake imeshindwa kabisa kupambana na maradhi yanayosumbua hata kama amechoka kiasi gani anachotakiwa ni kujitahidi kunywa kwa utaratibu uliowekwa na baada ya muda mfupi...
Minyoo huishi ndani ya matumbo yetu, na inakadiriwa kuwa karibu 25% ya watu wote duniani wanakabiliwa na tatizo na maambukizi hutokea kwa njia ya kula chakula kilichoathiriwa na kinyesi chenye mayai ya minyoo aina ya askaris...
Vidonda vya tumbo ni miongoni mwa magonjwa ya mfumo wa mmeng’enyo wa chakula katika mwili wa binadamu. Hivi ni vidonda ambavyo vinapatikana ndani ya tumbo la binadamu na huwapata sanasana watu wazima kuliko watoto wadogo. Mara...
Wanawake wengi sasa hivi wamekuwa wakibiliwa na changamoto hii ya kupoteza kabisa hamu ya kushiriki tendo la ndoa, hali in- ayopelekea ndoa kugeuka ndoano. Zipo sababu kubwa mbili in- azopelekea tatizo hili (i.) Mahusiano...
Dawa hii ni mahususi kwa wanawake ambao hawajawahi kabisa kupata watoto na hospitalini wameonekana wapo sawa kabisa na wana uwezo wa kuzaa. Dawa hii uwezo wa kusaidia kuweka sawa homoni, kusafisha kizazi, kupevusha mayai haraka...
Njia rahisi na Salama ya kupanga uzazi ni kutumia kopo lenye mfuniko lisilopitisha Mwanga(Non Transparent container), Chukua Pedi au Kitambaa unachovaa mara yako ya kwanza unapoona hedhi, Kikunje vizuri na uhifadhi ndani ya hilo...
Poleni sana wanaume mnaosumbuliwa na tatizo hili nalijua jinsi ambavyo huwa linasumbua unaweza kutamani hata kuzikata nyeti zako. Na inawezekana umeshatumia dawa nyingi sana lakini mafanikio yamekuwa madogo leo napenda ujifunze...