Upungufu wa nguvu za kiume ni hali ya kushindwa kushiriki tendo la ndoa kwa ukamilifu. Changamoto hii imekuwa ikiongezeka haraka sana katika siku hizi za karibuni na imepelekea wanaume wengi sana kuogopa kuoa. Leo napenda...
Tag - tiba mbadala
Wanawake wengi hukumbwa na kadhia hii ya kutema tema mate sana wakati wa ujauzito kitu ambacho hugeuka kero kwao wenyewe au wenza wao. Njia rahisi ya kuondoa kadhia ni Mahitaji Tangawizi au Karoti Matayarisho na matumizi...
Neno U.T.I ni kufupisho cha maneno Urinary Tract Infections ikiwa na maana maambukizi kwenye njia ya mkojo na mfumo wake. U.T.I husababishwa na wadudu wadogo sana ambao ni bacteria waitwao Escherichia coli (E. Coli) ambao huingia...
Je, Unajua Bawasiri/Hemorrhoids Ni Nini? Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya...
Kabla sijazungumzia tiba ya tezi dume napenda kwa ufahamu japo kwa ufupi tezi dume ni nini? Maana wengi wetu tukisikia neno hilo huwa tunafikiria ni ugonjwa kitu ambacho sio ukweli hata kidogo. Ukisikia tezi dume naomba...
Ini ni ogani muhimu sana kwenye mwili wetu ni kama ofisi ya Uhamiaji katika nchi. Hapa ndipo ambapo vitu mbalimbali hukaguliwa kabla ya kuingia kwenye mzunguko wa damu. Ikiwa ini lako lina matatizo basi itakuwa rahisi kwa vitu...
Napenda nianze kwa kukupa pole wewe unae amini kuwa presha ni ugonjwa pole sana, maana kufikiria hivo tu ndio ugonjwa wenyewe. Hebu turudi nyuma kidogo, ikiwa una mgonjwa ambae haongei wala hawezi kufanya kitu chochote njia pekee...
Matatizo ya moyo yamekuwa yakiongezekana sana siku hizi kutokana na matumizi mengi ya bidhaa zinazotengenezwa viwandani na matumizi ya vyakula vyenye kemikali . Njia rahisi ya kurekebisha tatizo hili ni kujitahidi kula vyakula...
Minyoo huishi ndani ya matumbo yetu, na inakadiriwa kuwa karibu 25% ya watu wote duniani wanakabiliwa na tatizo na maambukizi hutokea kwa njia ya kula chakula kilichoathiriwa na kinyesi chenye mayai ya minyoo aina ya askaris...
Upungufu wa nguvu za kiume ni hali ya kushindwa kufanya mapenzi kikamililifu au kushindwa kusimamisha vizuri, shughuli ya tendo la ndoa huhusisha akili, homoni, neva, misuli, hisia na mirija ya damu. Tafiti za hivi karibuni...