Dawa ya Kuzuia kutema Mate kwa Mjamzito

Wanawake wengi hukumbwa na kadhia hii ya kutema tema mate sana wakati wa ujauzito kitu ambacho hugeuka kero kwao wenyewe au wenza wao. Njia rahisi ya kuondoa kadhia ni

Mahitaji

Tangawizi au Karoti

Matayarisho na matumizi yake:

Katakata Tangawizi au Karoti kwenye vipande vidogo vidogo kisha uwe unaweza mdomoni bila kutafuna, kaa nacho kwa Masaa kadhaa kisha weka kingine. Fanya zoezi hilo hadi utakapoona Kichefuchefu kimeisha, ndani ya siku 3 hadi 5 utakuwa umepona kabisa.

Unaweza kutazama video hapo chini kwa Ufafanuzi Zaidi

slot 4d

About the author

Topten Herbs

Topten Herbs ni kituo cha utafiti wa Tiba mbadala zinazoweza kusaidia jamii yetu kujitibia maradhi mbalimbali yanayotukabili kirahisi kabisa kwa kutumia vitu mbalimbali vinavyotuzunguka katika mazingira yetu. Kituo hiki kinapatikana Mbezi kwa Msuguri jijini Dar es Salaam.

View all posts

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *