Dawa ya Kuzuia Mjamzito Kutapika

Wanawake wengi sana huwa wanakumbwa na tatizo la kuwa na kichefuchefu kinachowapelekea kutapika sana hasa katika wiki 12 za mwanzo za ujauzito. Hali ambayo hupelekea wengi wao kudhoofika sana kipindi hicho. Mara nyingi sana hospitali huwa hawana tiba ya uhakika ya tatizo hilo lakini linatibika kabisa kwa dawa zetu za kienyeji

Mahitaji

Mizizi ya Nyanya Maji

Matayarisho na matumizi yake:

Chukua kiasi kidogo cha mizizi hiyo kisha ichemshe kwa dakika 20 hadi 30 kisha iache ipoe, Mjamzito anatakiwa kunywa nusu kikombe cha dawa hiyo kutwa mara 2 kwa siku 5 hadi 7. Baada ya kumaliza dozi hiyo atakuwa amepona kabisa tatizo hilo.

Unaweza kutazama video hapo chini kwa Ufafanuzi Zaidi

About the author

Topten Herbs

Topten Herbs ni kituo cha utafiti wa Tiba mbadala zinazoweza kusaidia jamii yetu kujitibia maradhi mbalimbali yanayotukabili kirahisi kabisa kwa kutumia vitu mbalimbali vinavyotuzunguka katika mazingira yetu. Kituo hiki kinapatikana Mbezi kwa Msuguri jijini Dar es Salaam.

View all posts

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *