Dawa ya Mkanda wa Jeshi

Mkanda wa jeshi(Shingles) ni jina linalotumika sana mitaani kuutaja ugonjwa unaoshambulia ngozi na kujenga tabaka la vijipele vikubwa vyenye majimaji ambavyo mara nyingi hutokea upande mmoja wa mwili. Ingawa vipele hivi huweza kutokea sehemu yoyote ya mwili lakini mara nyingi hutokea kifuani, shingoni, usoni, mgongoni na mikononi. Tatizo hili mara nyingi huwapata watu wenye umri mkubwa na watu wanaosumbuliwa na matatizo yanayopunguza kinga mwili. Nafikiri tumeelewana vizuri sasa twende kwenye Matibabu yake

Mahitaji:

Ua la ndizi

Matayarisho na matumizi yake:

Katakata ua hilo na ulichome upate majivu yake kisha changanya majivu hayo na mafuta ya kupaka.

Mgonjwa ajipakaze dawa hiyo kwenye sehemu zote alizoungua, anaweza kupaka kutwa mara 2 au hata zaidi

slot 4d toto slot situs gacor link slot toto slot kampungbet

About the author

Topten Herbs

Topten Herbs ni kituo cha utafiti wa Tiba mbadala zinazoweza kusaidia jamii yetu kujitibia maradhi mbalimbali yanayotukabili kirahisi kabisa kwa kutumia vitu mbalimbali vinavyotuzunguka katika mazingira yetu. Kituo hiki kinapatikana Mbezi kwa Msuguri jijini Dar es Salaam.

View all posts

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *