Dawa ya Kuongeza Mbegu Za Kiume

Watu wengi hudhani kama mwanamke hapati ujauzito basi tatizo na lawama zote zitakuwa ni upande wa mwanamke, lakini hilo si lazima mara zote liwe hivyo. Kuna uwezekano mkubwa kuwa tatizo la kutopata mtoto katika familia likawa linatokana na ugumba upande wa mwanaume. Kwa tafiti zilizofanywa hivi karibuni zinaonesha kuwa wanaume wane(4) kati ya 10 wana tatizo la mbegu zao kuwa chache na kushindwa kutungisha mimba. Mwanaume kuzalisha mbegu chache kuliko kawaida ni mojawapo ya sababu kubwa za ugumba kwa wanaume.

Ili Mbegu ziwe chache zinatakiwa ziwe chini ya kiasi gani?

Shahawa kawaida ni mchanganyiko wa maji maji (ute) unaotengenezwa na tezi dume na mbegu za kiume (manii) zinazotengenezwa kwenye korodani. Mtu anakuwa na tatizo la mbegu chache pale katika kila millilita moja ya shahawa zake kunakuwa na mbegu (manii) chini ya millioni 20. Kwa kawaida mwanaume anazalisha zaidi ya manii millioni 20 katika kila millilita moja ya shahawa anazomwaga. Nadhani umenielewa vizuri sasa twende kwenye matibabu ya tatizo hilo

Mahitaji:

(i.)Majani mabichi ya mapera kilo moja

(ii.)Kitunguu saumu robo kilo

(iii.)Tangawizi robo kilo

(iv.)Asali nusu lita.

Matayarisho na matumizi yake:

Katakata vitunguu saumu, tangawizi na majani ya mapera vipande vidogo vidogo sana kisha chemsha kwenye Maji Lita 3 na nusu kwa dakika 15 hadi 20, kisha acha ipoe na uchuje, chukua maji yako na uchanganye na asali yako kisha koroga vizuri kabisa. Mgonjwa anatakawa kunywa kikombe kimoja cha chai kutwa mara 2 kwa siku 7. Wakati wa kutumia dawa hii huruhusiwi kushiriki tendo la ndoa.

slot 4d toto slot situs gacor link slot toto slot kampungbet

About the author

Topten Herbs

Topten Herbs ni kituo cha utafiti wa Tiba mbadala zinazoweza kusaidia jamii yetu kujitibia maradhi mbalimbali yanayotukabili kirahisi kabisa kwa kutumia vitu mbalimbali vinavyotuzunguka katika mazingira yetu. Kituo hiki kinapatikana Mbezi kwa Msuguri jijini Dar es Salaam.

View all posts

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *