Dawa ya Kuongeza Damu

Ikiwa una tatizo la kupungukiwa damu mara kwa mara na hupendi

kuongezewa damu hospitali unatamani kuongeza damu kwa njia za asili basi upo sehemu sahihi kabisa.

Mahitaji:

(i.) Maziwa fresh ya ng’ombe

(ii.) Asali mbichi

(iii.) Yai moja la kienyeji

Matayarisho na matumizi yake:

Chukua kikombe kimoja cha maziwa fresh yaliyochemka vizuri ki- sha weka kile kiini cha yai la kienyeji halafu weka vijiko viwili vya asali, koroga vizuri kabisa na mgonjwa anywe kutwa mara 3 kwa siku 3 hadi 5, damu itakuwa imepanda vizuri kabisa. Ikiwa sehemu uliyopo ni vigumu kupata vitu hivyo nilivyokutajia basi chemsha maua ya rosella au mvunge.

slot 4d toto slot situs gacor link slot toto slot kampungbet

About the author

Topten Herbs

Topten Herbs ni kituo cha utafiti wa Tiba mbadala zinazoweza kusaidia jamii yetu kujitibia maradhi mbalimbali yanayotukabili kirahisi kabisa kwa kutumia vitu mbalimbali vinavyotuzunguka katika mazingira yetu. Kituo hiki kinapatikana Mbezi kwa Msuguri jijini Dar es Salaam.

View all posts

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *