Ikiwa unatamani kushika mimba haraka basi anza sasa kutumia kwa wingi vyakula vifuatavyo:-
- Ndizi mbivu
- Kabeji
- Machungwa na matunda mengine ya jamii hii
- Mananasi
- Viazi Mviringo
- Viazi vitamu
- Samaki wabichi
- Mboga za majani
- Parachichi
Kama utajitahidi kula vyakula hivyo kwa wingi uwezekano wa kushika mimba unakuwa ni mkubwa sana.
Lakini pia unapaswa kuepuka kutumia vitu vifuatavyo
- Pombe
- Sigara
- Bidhaa za viwandani
- Madawa ya kuzuia usingizi
- Kahawa
- Sukari
- vyakula vilivyokobolewa
- Maziwa
toto slot
toto togel
toto slot
https://polreskedirikota.id/
slot gacor
slot 4d
slot gacor
situs slot gacor
toto slot
situs gacor
situs togel
toto slot
monperatoto
link slot
toto slot
toto togel
situs slot gacor
situs slot
situs slot gacor
kampungbet
situs slotShare this post:
on Facebook
About the author
Topten Herbs
Topten Herbs ni kituo cha utafiti wa Tiba mbadala zinazoweza kusaidia jamii yetu kujitibia maradhi mbalimbali yanayotukabili kirahisi kabisa kwa kutumia vitu mbalimbali vinavyotuzunguka katika mazingira yetu. Kituo hiki kinapatikana Mbezi kwa Msuguri jijini Dar es Salaam.
View all posts