Vyakula 8 vinavyosaidia kushika Mimba Haraka

Ikiwa unatamani kushika mimba haraka basi anza sasa kutumia kwa wingi vyakula vifuatavyo:-

  • Ndizi mbivu
  • Kabeji
  • Machungwa na matunda mengine ya jamii hii
  • Mananasi
  • Viazi Mviringo
  • Viazi vitamu
  • Samaki wabichi
  • Mboga za majani
  • Parachichi

Kama utajitahidi kula vyakula hivyo kwa wingi uwezekano wa kushika mimba unakuwa ni mkubwa sana.

Lakini pia unapaswa kuepuka kutumia vitu vifuatavyo

  • Pombe
  • Sigara
  • Bidhaa za viwandani
  • Madawa ya kuzuia usingizi
  • Kahawa
  • Sukari
  • vyakula vilivyokobolewa
  • Maziwa
toto slot toto togel toto slot https://polreskedirikota.id/ slot gacor slot 4d slot gacor situs slot gacor toto slot situs gacor situs togel toto slot monperatoto link slot toto slot toto togel situs slot gacor situs slot situs slot gacor kampungbet situs slot

About the author

Topten Herbs

Topten Herbs ni kituo cha utafiti wa Tiba mbadala zinazoweza kusaidia jamii yetu kujitibia maradhi mbalimbali yanayotukabili kirahisi kabisa kwa kutumia vitu mbalimbali vinavyotuzunguka katika mazingira yetu. Kituo hiki kinapatikana Mbezi kwa Msuguri jijini Dar es Salaam.

View all posts

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *