Dawa ya Fangasi Sehemu za Siri(Wanaume)

Poleni sana wanaume mnaosumbuliwa na tatizo hili nalijua jinsi ambavyo huwa linasumbua unaweza kutamani hata kuzikata nyeti zako. Na inawezekana umeshatumia dawa nyingi sana lakini mafanikio yamekuwa madogo leo napenda ujifunze dawa hii rahisi ila huwa inawasha kiasi kwa siku mbili au tatu za mwanzo ila baadae mambo huwa mazuri sana.

Mahitaji:

(i.) Mafuta ya nyoyo (ii.) Kitunguu saumu (iii.) Aloe vera

Matayarisho na matumizi yake:

Chukua kitunguu saumu na aloe vera na uvisage kwa pamoja kisha viweke kwenye mafuta ya nyonyo na uchemshe kwa pamoja kwa dakika 5, epua na acha yapoe na uyachuje, mgonjwa anatakiwa kupaka mafuta hayo kutwa mara mbili kwa siku 5 hadi saba.

About the author

Topten Herbs

Topten Herbs ni kituo cha utafiti wa Tiba mbadala zinazoweza kusaidia jamii yetu kujitibia maradhi mbalimbali yanayotukabili kirahisi kabisa kwa kutumia vitu mbalimbali vinavyotuzunguka katika mazingira yetu. Kituo hiki kinapatikana Mbezi kwa Msuguri jijini Dar es Salaam.

View all posts

2 Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *